Tanzania Union of Government and Health Employees
Cde. Joel Kaminyoge
Chairman of TUGHE

Giving greetings and welcoming the Official Guest at the Seminar for Employers and Leaders of TUGHE Branches held here in Arusha.

  • Pichani ni Katibu Mkuu TUGHE Taifa Cde. Hery Mkunda pamoja na Naibu Katibu Mkuu(Serikali) Cde. Amani Msuya (wa kwanza kutoka kushoto), Naibu Katibu Mkuu(Afya) Cde. Rugemalira Rutatina (wa kwanza kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi Hodari kwa Mwaka 2025.
  • Katibu Mkuu TUGHE Cde.Hery Mkunda akipokea zawadi na tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tawi la TUGHE Cde. Kefas Butahe wakati wa Kikao cha Wafanyakazi wote kama ishara ya kushukuru na kutambua kazi nzuri inayofanywa na Katibu Mkuu kuhakikisha Chama kinasonga mbele
  • Pichani ni Mgeni rasmi, Katibu Mkuu TUGHE Taifa Cde. Hery Mkunda akitoa salamu kwa wajumbe wakati wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wenyeviti na Makatibu wa Matawi ya TUGHE Mkoa wa Dar es salaam kilichofanyika 21-22 Oktoba,2025 Kibaha Mkoani Pwani
  • Mwenyekiti TUGHE Taifa Cde. Joel Kaminyoge alipokuwa akitoa salamu na kuwashukuru Wajumbe wa Baraza Kuu TUGHE kwa ushirikiano mkubwa waliompatia tangu kushika wadhifa huo wakati waufunguzi wa Kikao cha Baraza Kuu TUGHE kilichofanyikaJijini Dodoma.
  • Mwenyekiti Kamati za Wanawake TUGHE Taifa, Cde. Catherine Katele akimkabidhi zawadi Katibu Mkuu TUGHE Cde.Hery Mkund kama ishara ya kumpongeza na kumshukuru kwa ushirikiano mkubwa anaoendelea kuutoa kwa maendeleo ya kamati za Wanawake TUGHE.
  • Wenyeviti wa TUGHE Mikoa wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kitaifa TUGHE wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu TUGHE 2025 uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Royal Village Jijini Dodoma
  • Katibu Mkuu TUGHE Cde. Hery Mkunda akitoa maelezo mafupi kwa Wajumbe wa Baraza Kuu TUGHE kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo la TUGHE Makao Makuu unaoendelea jijini Dodoma
  • Mwenyekiti Kamati za Wanawake TUGHE Taifa, Cde. Catherine Katele akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Kamati ya Utendaji Wanawake kilichofanyika mapema mwezi Desemba 2025 Jijini Dodoma
  • Wajumbe wa Kamati ya Utendaji Baraza Kuu TUGHE katika picha ya pamoja na Menejimenti ya TUGHE mara baada ya ufunguIlzi wa Kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika mapema mwezi Desemba 2025.

As government and health Employees of the United Republic of Tanzania, our main task is to provide services to all Tanzanians, a noble and better service to the whole community. Together, civil servants and health sectors we are determined to unite and form our Union that will unite us and ensure that we implement our responsibility while enjoying all the rights from our Employers. Like all other citizens in the country, we Employees have the right to access the best social services economically in the interest of health, education, water, accommodation and all other eligible services

Message from General Secretary (GS)

News & Events


HALMASHAURI YA TAWI LA TUGHE Y ...

Halmashauri ya Tawi la TUGHE Makao Makuu ikiongozw ...

Read More

TUGHE YATOA RAI KWA WAFANYAKAZ ...

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania ...

Read More

UCHAGUZI MKUU TUGHE KATIKA NGA ...

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania ...

Read More

TUGHE, MTANDAO WA AFYA YA UZAZ ...

Mtandao wa Haki ya Afya ya uzazi nchini Tanzania u ...

Read More

TUGHE YAJIDHATITI KUBORESHA MA ...

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Chama cha Wafa ...

Read More

CHAGUENI VIONGOZI SAHIHI WATAK ...

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Mwenyekiti wa TUGHE ...

Read More

Affiliates & Partners