Tanzania Union of Government and Health Employees
Cde. Joel Kaminyoge
Chairman of TUGHE

Giving greetings and welcoming the Official Guest at the Seminar for Employers and Leaders of TUGHE Branches held here in Arusha.

  • Katibu Mkuu TUGHE Cde.Hery Mkunda akipokea zawadi na tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tawi la TUGHE Cde. Kefas Butahe wakati wa Kikao cha Wafanyakazi wote kama ishara ya kushukuru na kutambua kazi nzuri inayofanywa na Katibu Mkuu kuhakikisha Chama kinasonga mbele
  • Pichani ni Mgeni rasmi, Katibu Mkuu TUGHE Taifa Cde. Hery Mkunda akitoa salamu kwa wajumbe wakati wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wenyeviti na Makatibu wa Matawi ya TUGHE Mkoa wa Dar es salaam kilichofanyika 21-22 Oktoba,2025 Kibaha Mkoani Pwani
  • Mwenyekiti TUGHE Taifa Cde. Joel Kaminyoge alipokuwa akitoa salamu na kuwashukuru Wajumbe wa Baraza Kuu TUGHE kwa ushirikiano mkubwa waliompatia tangu kushika wadhifa huo wakati waufunguzi wa Kikao cha Baraza Kuu TUGHE kilichofanyikaJijini Dodoma.
  • Mwenyekiti Kamati za Wanawake TUGHE Taifa, Cde. Catherine Katele akimkabidhi zawadi Katibu Mkuu TUGHE Cde.Hery Mkund kama ishara ya kumpongeza na kumshukuru kwa ushirikiano mkubwa anaoendelea kuutoa kwa maendeleo ya kamati za Wanawake TUGHE.
  • Wenyeviti wa TUGHE Mikoa wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kitaifa TUGHE wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu TUGHE 2025 uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Royal Village Jijini Dodoma
  • Mwenyekiti Kamati za Wanawake TUGHE Taifa, Cde. Catherine Katele akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Kamati ya Utendaji Wanawake kilichofanyika mapema mwezi Desemba 2025 Jijini Dodoma
  • Wajumbe wa Kamati ya Utendaji Baraza Kuu TUGHE katika picha ya pamoja na Menejimenti ya TUGHE mara baada ya ufunguIlzi wa Kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika mapema mwezi Desemba 2025.

As government and health Employees of the United Republic of Tanzania, our main task is to provide services to all Tanzanians, a noble and better service to the whole community. Together, civil servants and health sectors we are determined to unite and form our Union that will unite us and ensure that we implement our responsibility while enjoying all the rights from our Employers. Like all other citizens in the country, we Employees have the right to access the best social services economically in the interest of health, education, water, accommodation and all other eligible services

Message from General Secretary (GS)

News & Events


UCHAGUZI MKUU TUGHE KATIKA NGA ...

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania ...

Read More

TUGHE MKOA WA SHINYANGA WAKABI ...

Na Mwandishi wetu Shinyanga, Katika kuadhimisha ...

Read More

TUGHE TABORA WATOA MSAADA WA ...

Na Mwandishi Wetu, TABORA Kamati ya Wanawake TU ...

Read More

TUGHE MKOA WA KIGOMA WATOA MSA ...

Na Mwandishi Wetu, KIGOMA Tanzania Chama cha Wa ...

Read More

TUGHE MKOA WA SINGIDA WATOA MS ...

Na Mwandishi wetu, SINGIDA Chama cha Wafanyaka ...

Read More

TUGHE SIMIYU WATOA MSAADA WA ...

Na Mwandishi wetu, SIMIYU Chama cha wafanyakazi ...

Read More

Affiliates & Partners