Tanzania Union of Government and Health Employees
Cde. Joel Kaminyoge
Chairman of TUGHE

Giving greetings and welcoming the Official Guest at the Seminar for Employers and Leaders of TUGHE Branches held here in Arusha.

  • Katibu Mkuu wa TUGHE Cde, Hery Mkunda akifungua mafunzo ya siku tatu kuhusu mbinu mbalimbali za kufanya uhamasishaji wa wanachama yaliyoandaliwa na Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Wafanyakazi wa Watumishi wa Umma Duniani (PSI) kwa kushirikiana na TUGHE
  • Wakuu wa Idara na Vitengo TUGHE, Makatibu wa Mikoa pamoja na Wawakilishi kutoka Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Wafanyakazi wa Watumishi wa Umma Duniani (PSI) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mafunzo kuhusu uhamasishaji yaliyofanyika Jumatano tarehe 18 Juni 2025 jijini Dodoma.
  • Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa, Cde. Rugemalira Rutatina ameshiriki katika Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi(WCF) uliofanyika jijini Dodoma
  • Mwenyekiti TUGHE Taifa Cde.Joel Kaminyoge akifungua Kikao cha Kamati ya Utendaji Baraza Kuu kilichofanyika Mkoani Singida
  • TUGHE Tawi la Wizara ya Mifugo na Uvuvi walivyoadhimisha Siku ya Wafanyakazi (Meimosi) Kitaifa Mkoani Singida
  • Pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego alitembelea Banda la TUGHE kuona shughuli mbalimbali zinazoendelea katika Maonesho ya Wiki ya Afya na Usalama mahali pa kazi
  • Viongozi wa TUGHE Tawi la COSOTA na Tawi la Wizara ya Ulinzi walitembelea Banda la TUGHE katika Maonesho ya Wiki ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi yaliyofanyika katika Viwanja vya Mandewa mkoani Singida

As government and health Employees of the United Republic of Tanzania, our main task is to provide services to all Tanzanians, a noble and better service to the whole community. Together, civil servants and health sectors we are determined to unite and form our Union that will unite us and ensure that we implement our responsibility while enjoying all the rights from our Employers. Like all other citizens in the country, we Employees have the right to access the best social services economically in the interest of health, education, water, accommodation and all other eligible services

Message from General Secretary (GS)

News & Events


BARAZA LA WAFANYAKAZI WA TUGHE ...

Mwenyekiti wa TUGHE Taifa, Cde. Joel Kaminyoge ame ...

Read More

WATUMISHI TUGHE WAKUMBUSHWA KU ...

Watumishi wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na ...

Read More

WAKUU WA IDARA,MAKATIBU WA MIK ...

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania ...

Read More

TUGHE ARUSHA WACHANGIA KUIMARI ...

Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Chama ...

Read More

TUGHE, MTANDAO WA AFYA YA UZAZ ...

Mtandao wa Haki ya Afya ya uzazi nchini Tanzania u ...

Read More

Affiliates & Partners