Tanzania Union of Government and Health Employees
Cde. Joel Kaminyoge
Chairman of TUGHE

Giving greetings and welcoming the Official Guest at the Seminar for Employers and Leaders of TUGHE Branches held here in Arusha.

  • Mwenyekiti TUGHE Taifa Cde.Joel Kaminyoge akifungua Kikao cha Kamati ya Utendaji Baraza Kuu kilichofanyika Mkoani Singida
  • Pichani ni Uongozi wa TUGHE Taifa (waliokaa chini) wakiwa kwenye Kikao cha Kamati ya Utendaji Baraza Kuu na Mwanachama wa TUGHE (aliyevaa taji) Ndg.Emmanuel Isaya Umbe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda KCMC walimkabidhi zawadi kwa kuibuka kuwa Mfanyakazi Bora katika Sherehe za Meimosi kwa kuvunja rekodi ya Uchangiaji Damu Tanzania(Kitaifa) mara 108.
  • Katibu Mkuu TUGHE Taifa Cde.Hery Mkunda akisoma Risala ya Wafanyakazi aliyowasilisha kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Meimosi Mkoani Singida
  • TUGHE Tawi la Wizara ya Mifugo na Uvuvi walivyoadhimisha Siku ya Wafanyakazi (Meimosi) Kitaifa Mkoani Singida
  • Pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego alitembelea Banda la TUGHE kuona shughuli mbalimbali zinazoendelea katika Maonesho ya Wiki ya Afya na Usalama mahali pa kazi
  • Viongozi wa TUGHE Tawi la COSOTA na Tawi la Wizara ya Ulinzi walitembelea Banda la TUGHE katika Maonesho ya Wiki ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi yaliyofanyika katika Viwanja vya Mandewa mkoani Singida
  • Katibu Mkuu TUGHE Cde. Hery Mkunda akisalimiana na Naibu Waziri , Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi (MB) wakati wa ufunguzi wa michezo ya Meimosi 2025 iliyofanyka katika viwanja vya CCM Liti mkoani Singida
  • Shughuli za Michezo mbalimbali kuelekea Maadhimisho ya Meimosi Kitaifa Mkoani Singida 2025 yameanza rasmi katika Viwanja tofauti Mkoani Singida yakijumuisha Taasisi zaidi ya 30 kutoka Sekta binafsi na Serikali
  • Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa, Cde. Rugemalira Rutatina ameshiriki katika Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi(WCF) uliofanyika jijini Dodoma

As government and health Employees of the United Republic of Tanzania, our main task is to provide services to all Tanzanians, a noble and better service to the whole community. Together, civil servants and health sectors we are determined to unite and form our Union that will unite us and ensure that we implement our responsibility while enjoying all the rights from our Employers. Like all other citizens in the country, we Employees have the right to access the best social services economically in the interest of health, education, water, accommodation and all other eligible services

Message from Secretary General (SG)

News & Events


TUGHE IRINGA YATOA MSAADA WA B ...

Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Chama ...

Read More

TUGHE GEITA WATOA MSAADA WA MA ...

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania ...

Read More

TUGHE KATAVI YATOA HUDUMA YA U ...

Katika kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani, Chama ...

Read More

TUGHE TANGA WATOA MSAADA HOSPI ...

Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Chama ...

Read More

TUGHE ARUSHA WACHANGIA KUIMARI ...

Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Chama ...

Read More

TUGHE, MTANDAO WA AFYA YA UZAZ ...

Mtandao wa Haki ya Afya ya uzazi nchini Tanzania u ...

Read More

Affiliates & Partners